Episodi

  • #100 More or less? Talking about quantities - #100 Kiasi na idadi
    Jan 23 2026
    Learn how to talk about amounts and quantities in everyday English. - Je, unajua jinsi ya kutumia kiasi na idadi katika kiingereza ya kila siku?
    Mostra di più Mostra meno
    9 min
  • Taarifa ya habari:Wanachama wa National wajiuzulu kufuatia sheria tata za hotuba za chuki
    Jan 23 2026
    **Polisi wamsaka mtuhumiwa wa mauaji New South Wales ** Waustralia hamsini na tatu wataiwakilisha taifa kwenye Michezo ya Olimpiki **Na tamasha ya muziki ya Tamworth yaanza kesho.
    Mostra di più Mostra meno
    12 min
  • Makala:Serikali ya Victoria kuendelea na ubomozi wa nyumba za umma licha ya upinzani
    Jan 23 2026
    Katika wakati wa mgogoro wa makazi na gharama za maisha, serikali ya Victoria iko katika mchakato wa kubomoa minara yote 44 ya makazi ya umma ya Melbourne. Licha ya upinzani mkubwa na uchunguzi wa bunge unaotaka kusitishwa kwa haraka kwa kazi hizo, serikali ya Victoria inaendelea na mipango hiyo. Kuhama nyumba huchukuliwa kuwa moja ya matukio yenye msongo mkubwa zaidi katika maisha ya mtu. Kwa hivyo, mwaka 2023, wakati maelfu ya wakaazi wa Victoria walipokea taarifa kwamba nyumba zao zitabomolewa wakati fulani kati ya mwaka huo na 2051, msongo ulikuwa dhahiri. Tembelea tovuti yetu sbs.com.au kwa taarifa ama maelezo zaidi.
    Mostra di più Mostra meno
    13 min
  • Yaliyojiri Afrika:Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kumuua kiongozi wa upinzani Boby Wine
    Jan 23 2026
    Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
    Mostra di più Mostra meno
    9 min
  • Taarifa ya habari:Nchi za Ulaya zajiandaa kutetea eneo la Denmark
    Jan 20 2026
    **Papa waendelea kuwashambulia watu huko Sydney ** Rais Donald Trump aendelea na mchakato wake wa kuchukua Greenland **Soko la Samaki la Sydney sasa limefunguliwa
    Mostra di più Mostra meno
    12 min
  • Makala leo:Mkakati mpya wa usalama wa maji wazinduliwa
    Jan 19 2026
    Tangu kuanza kwa kiangazi, watu 33 wamepoteza maisha yao kutokana na kuzama maji huko Australia. Kwa kuwa kuzama maji kunatokea zaidi tangu Janga la COVID-19, Baraza la Usalama wa Maji la Australia limetoa Mkakati Mpya wa Usalama wa Maji wa Australia 2030, ambao unalenga kuimarisha juhudi za kitaifa kupunguza vifo vya kuzama maji kwa asilimia 50 kufikia mwisho wa muongo huu.
    Mostra di più Mostra meno
    8 min
  • Yaliyojiri Afrika:Upinzani wakataa matokeo ya uchaguzi Uganda
    Jan 19 2026
    Mwanahabari Jason Nyakundi anatujuza yanayoendelea Afrika. Kwa habari ama maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
    Mostra di più Mostra meno
    9 min
  • Makala leo:jinsi ya kutambua na kuepuka ulaghai wa AI
    Jan 16 2026
    Utafiti mpya unaonyesha kwamba Waustralia wanaamini kupita kiasi juu ya uwezo wao wa kutambua ulaghai wa AI deepfake, hata teknolojia inavyoendelea kuwa ngumu zaidi kugundua. Wataalamu wanatahadharisha kwamba wadanganyifu wanaiba imani na hisia, na wanatoa wito kwa nyinyi kusimama, kuthibitisha na kukataa ujumbe unaotia shaka. Ikiwa mnadhani mngeweza kutambua ulaghai wa deepfake za AI papo hapo, hamko peke yenu. Lakini utafiti mpya wa CommBank unapendekeza kuwa Waustralia wanaweza kuwa na ujasiri zaidi kuliko walivyo sahihi, na matapeli wanastawi katika pengo hilo. Kwa sababu kwa deepfakes, hatari si tu teknolojia. Ni kile inachochukua - uaminifu. Katika Benki ya Commonwealth, Meneja Mkuu wa Huduma za Usimamizi wa Ulaghai wa Kikundi, James Roberts, anasema deepfakes sasa zinatumika kuiga aina za watu tunaozoea kuwaamini, iwe ni mtu maarufu, mtu tunayemfahamu, au mtu tunayempenda.
    Mostra di più Mostra meno
    11 min