Episode 2 : Adamu alikuwa wa jinsia gani?
Impossibile aggiungere al carrello
Puoi avere soltanto 50 titoli nel carrello per il checkout.
Riprova più tardi
Riprova più tardi
Rimozione dalla Lista desideri non riuscita.
Riprova più tardi
Non è stato possibile aggiungere il titolo alla Libreria
Per favore riprova
Non è stato possibile seguire il Podcast
Per favore riprova
Esecuzione del comando Non seguire più non riuscita
-
Letto da:
-
Di:
A proposito di questo titolo
“Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya; mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.”
Mwa 5:1-2 SUV
SWALI:
1. Je Adamu alikuwa ni wa jinsia gani?
2. Ikiwa alikuwa ni wa kiume, Biblia imeandika "akawaita " ni wingi je mwingine alieitwa ni nani?
3. Ikiwa wote majina yao ilikuwa Adamu, Eva( Hawa) ni nani?
4. Ikiwa Mungu aliumba mtu mke na mtu mme yule mtu mke ni nani?
Katika kipindi hili ni mjadala wa utangulizi wa mjadala kamili utakaokujia kwenye kipindi kijacho.
Ancora nessuna recensione