7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51) copertina

7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51)

7. Yesu Kristo, Aliyefanyika Mkate wa Uzima Kwetu (Yohana 6:41-51)

Ascolta gratuitamente

Vedi i dettagli del titolo

A proposito di questo titolo

Katika Injili ya Yohana sura ya 6, Bwana anasema, “Mimi ni chakula cha uzima.” Watu walihisi wamekula chakula cha mwili kutoka kwa Yesu. Siku iliyofuata, walienda kumtafuta Yesu tena, lakini Yesu aliwaambia wasifanyie kazi chakula kinachoharibika bali chakula ambacho ni cha uzima wa milele. Na kwa hivyo, watu waliuliza, “Tufanyeje ili tupate kuzitenda kazi za Mungu?” (Yohana 6:28) Yesu akajibu, “Hii ndiyo,kazi ya Mungu,mmwamini yeye aliyetumwa na yeye.” (Yohana 6:29).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Ancora nessuna recensione