6. Lazima Tule Mkate Kutoka Mbinguni kwa Imani Katika Injili ya Maji na Roho (Yohana 6:28-58)
Impossibile aggiungere al carrello
Puoi avere soltanto 50 titoli nel carrello per il checkout.
Riprova più tardi
Riprova più tardi
Rimozione dalla Lista desideri non riuscita.
Riprova più tardi
Non è stato possibile aggiungere il titolo alla Libreria
Per favore riprova
Non è stato possibile seguire il Podcast
Per favore riprova
Esecuzione del comando Non seguire più non riuscita
-
Letto da:
-
Di:
A proposito di questo titolo
Wakati Bwana wetu alipokuwa duniani, watu wa Israeli walikuwa masikini sana na hawakuwa na chakula cha kutosha kujilisha, kwani walinyonywa na Dola la Rumi kama koloni. Bwana wetu alikutana na wagonjwa na akawaponya, na akafanya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili kwa maskini kuwalisha kwa chakula cha mwili. Kuona watu wa Israeli, Bwana wetu aliwaonea huruma. Aliwahurumia kwa sababu aliwaona kama kondoo waliopotea, kundi bila mchungaji. Wakati watu wa Israeli walimfuata Yesu njia yote kuelekea nyikani, Yesu aliwaonea huruma, kwani hata kama wanahitaji kulishwa, kwani walikuwa na nyama, hawakuwa na chakula.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ancora nessuna recensione