5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14) copertina

5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14)

5. Tuufurahie Utukufu wa Mungu Kwa Shukrani (Yohan 1:1-14)

Ascolta gratuitamente

Vedi i dettagli del titolo

A proposito di questo titolo

Injili ya Yohana, Vitabu vitatu vya 1, 2, na 3 Yohana, na Kitabu cha Ufunuo ni Maandiko yaliyoandikwa na Mtume Yohana. Kwa kupitia Maandiko haya, basi tunaweza kuona jinsi imani ya Mtume Yohana ilivyokuwa, na pia jinsi imani ya wanafunzi wa Yesu ilivyokuwa. Mtume Yohana aliamini kuwa Yesu alikuwa ni Mungu halisi aliyeumba ulimwengu wote na sisi wanadamu, na kwamba Mungu alikuwa ni Mwokozi wake na Mwokozi wa wanadamu wote. Sisi sote tunapaswa kuwa na aina hii ya imani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Ancora nessuna recensione